This single was released on 18 March 2020. The chords are in the original key of the song. You can change it to any key you want, using the Transpose option below. These chords are simple and easy to play on the guitar or piano.
Original Key: F Major Time Signature: 4/4 Tempo: 120 Suggested Strumming: DU,DU,DU,DU c h o r d z o n e . o r g [INTRO] F Bb C F [VERSE] F Pasha maji weka moto Bb Tandika jamvi naja nyumbani C F Nimekuletea zawadi F Kijora cha mkopo F Bb Futa la nazi ujipare honey C F Na vijisabuni vya Magadi F Bb Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake C F Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake F Bb Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake C F Ye king'amuzi ni dishi lake www.chordzone.org [CHORUS] Bb Fungeni maturubai (Mkeshe mkisema) C F Wala hamtupi shida (Mkeshe mkisema) F Bb Ndo kwanza tunajidai (Mkeshe mkisema) C F Kama afisa wa nida ooh F Bb Tena daktari nimekuja na tiba sindano (Leta nichomeke) C F Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (Leta nichomeke) F Bb Nipo ngangari tayari kwa mapambano (Leta nichomeke) C F Tayari kagusa Aslay wa mambo msuguano (Leta nichomeke) F Bb C Tamba Tamba! Nakupa uwanja tamba F Tamba Tamba! Warushe warushike roho zao F Bb C Tamba Tamba! Wasokujua wakujuwe leo C F Tamba Tamba! Tamba mama nao [INSTRUMENTAL] F Bb C F [VERSE] F Bb Nitalinda benki kwa rungu niaminie C F Nikitaka langu mwana uvungu nainama mie F Bb Wavunje nazi na nyungu wajifushie C F Ooh moyo wangu atulinde mungu yasitufikie F Bb Nilishakumbwa na Tsunami Bb C F Na mapenzi nikalia nina amani kwako sasa F Bb C F Penzi si la unyang'anyi pekee yangu najilia, nashiba na kusaza F Bb Na ka TV kangu kanawaka kuzima (Nikupe) C F Na kasimu kangu japo ka Mchina (Nikupe) F Bb Shika na moyo wangu enda nao mazima (Nikupe) C F Tuzaliwa Mecca tufie Madina (Nikupe) www.chordzone.org [CHORUS] Bb Fungeni maturubai (Mkeshe mkisema) C F Wala hamtupi shida (Mkeshe mkisema) F Bb Ndo kwanza tunajidai (Mkeshe mkisema) C F Kama afisa wa nida ooh F Bb Tena daktari nimekuja na tiba sindano (Leta nichomeke) C F Chunga kibinda mwali napita kwenye mabano (Leta nichomeke) F Bb Nipo ngangari tayari kwa mapambano (Leta nichomeke) C F Tayari kagusa Aslay wa mambo msuguano (Leta nichomeke) F Bb C Tamba Tamba! Nakupa uwanja tamba F Tamba Tamba! Warushe warushike roho zao F Bb C Tamba Tamba! Wasokujua wakujuwe leo C F Tamba Tamba! Tamba mama nao [INSTRUMENTAL] F Bb C F [OUTRO] F Bb Nishalinoa panga porini kukata muwa C F Mwana kaza kitanda usiku kuneng'emuwa F Bb Nishalinoa panga porini kukata muwa C F Mwana kaza kitanda usiku kuneng'emuwa F Bb Nishalinoa panga porini kukata muwa C F Mwana kaza kitanda usiku kuneng'emuwa F Bb Nishalinoa panga porini kukata muwa C F Mwana kaza kitanda usiku kuneng'emuwa Lalalala... lalalala
Recommended for you: